Mwishoni mwa vita ya pili ya dunia...1945, Majeshi ya Marekani yalidondosha mabomu ya nyuklia katika miji ya Hiroshima na Nagasaki... Picha hiyo ya juu inaonyesha sehemu ya jengo bomu hilo lilidondoshwa , nami nilibahatika kufika hapo!....inatisha ...Wajapani wamejitahidi kuhifadhi kumbukumbu ya tukio hilo!
SIMBA SC YAANZA VIBAYA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
3 hours ago

0 comments:
Post a Comment