Mwishoni mwa vita ya pili ya dunia...1945, Majeshi ya Marekani yalidondosha mabomu ya nyuklia katika miji ya Hiroshima na Nagasaki... Picha hiyo ya juu inaonyesha sehemu ya jengo bomu hilo lilidondoshwa , nami nilibahatika kufika hapo!....inatisha ...Wajapani wamejitahidi kuhifadhi kumbukumbu ya tukio hilo!
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
8 hours ago
0 comments:
Post a Comment