Mke wa Raisi wa marekani Michelle Obama yuko ziarani Afrika kusini akiwa ameambatana na wanawe wawili , , binamu yake na mama yake mzazi Marian Robinson. Mwanzoni mwa ziara hiyo alikutana na Mzee Madiba, Mandela na na mkewe Graca.

Dira Ya Dunia
1 hour ago

0 comments:
Post a Comment