Mke wa Raisi wa marekani Michelle Obama yuko ziarani Afrika kusini akiwa ameambatana na wanawe wawili , , binamu yake na mama yake mzazi Marian Robinson. Mwanzoni mwa ziara hiyo alikutana na Mzee Madiba, Mandela na na mkewe Graca.

URITHI GEOPARK MUSEUM, HISTORIA NA MIAMBA INAPOONGEA
42 minutes ago

0 comments:
Post a Comment