Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, September 20, 2011

Wanawake wamekuwa wakimiminika katika uwanja wa taifa wa Nyayo jijini Nairobi nchini Kenya kufanya ya kupata wapenzi, waume au wenza.
Ibada hiyo inaongozwa na mchungaji ambaye 'amebobea' kwenye uhubiri wa kikristo lakini hana kanisa maalum linalojulikana.

Mchungaji Chris Ojigbani raia wa Nigeria anafanya huduma ya kuondoa nuksi na kuwafanya akinamama 'kuonwa ' na kuolewa.

Source: Kenya's Daily Nation.

0 comments: