Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, November 08, 2011

Mtanzania Willy Ngoya na raia mmoja Japani wameanzisha mradi wa kukusanya baiskeli na kuzipeleka Afrika Mashariki kutoka hapa Japani ambako wanaziuza kwa bei nafuu kama njia ya kurahisisha usafiri na usafirishaji hasa maeno na vijijini (Mashinani) wenzetu wanasema.




Mirindimo ilitembelea kazi zake na kuchukua picha kadhaa.Na kwa upande mwingine Shirika la Utangazaji la Japani pia nalo limevutiwa na hatua hiyo na kufanya mahojiano naye ambayo yatasikika siku ya Alhamisi, Nov, 10, 2011.


Unaweza kusikiliza mahojiano hayo ya Radio Japani-kwa kupitia kwenye kolamu ya marafiki, kwenye mtandao huu , angalia Idhaa ya Kiswahili ya Redio Japani NHK bofya hapo utakupeleka kwenye ukurasa ambao utaona picha za kazi zake na kusikiliza mahojiano. Au kwa kukurahisishia bofya hapa; http://www3.nhk.or.jp/nhkworld/swahili/top/index.html

0 comments: