Jana ilikuwa siku ya mapumziko nchini Japani, ambapo walikuwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi...siku ya kupogezana kwa kazi ngumu wanazozifanya kulijenga taifa lao. Katika pitapita yangu jijini Tokyo nikakutana na onyesho la wazi la vijana wadogo ...ambao walikuwa wakishindanishwa kucheza mbele ya kadamnasi kuonyesha vipaji vyao. Onyesho hili lilinivutia kwasababu...linaanza kuwajenga watoto wenye vipaji vya muziki, na kuwafanya wajiamini wakati wa maonyesho. Jiunge nami ...
BUTUA NA MERIDIANBET JUMAMOSI YA LEO
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment