Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, December 31, 2011

Mwandishi mkongwe wa BBC Johnn Ngahyoma aliyefariki dunia jana Ijumaa asubuhi baada ya vita virefu na kansa ya ini anatarajiwa kuzikwa leo jumamosi katika makaburi ya Kinondoni siku ya Jumamosi .

Taarifa kutoka kwa kaka yake marehemu Bw. Ngalimecha Ngahyoma zimethibitisha hivyo.
Mpaka alipofariki dunia John alikuwa akifanya kazi na shirika la Utangazaji la Uingereza BBC, mjini Dar es salaam.John alifanya kazi pia huko Daily News, baadaye alijiunga na ITV/Radio One halafu pia alifanya kazi na shirika la NSSF na baadaye alijiunga na BBC.Mwenyezi Mungu ailaze roho yake pahala pema peponi. Amen.

0 comments: