Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, April 20, 2009

Wananchi wa Afrika Kusini watapiga kura Jumatano ya tarehe 22 April na chama tawala cha African National Congress kimemsimamisha mgombea wake Jacob Zuma Zuma kiongozi mwenye historia ya kusisimua ,mpiganaji na asiyeogopa anatabiriwa ushindi pamoja na ushindani mkubwa uliopo. Ana sifa nyingi lakini kwa wapiga kura anaonekana kuwapa matumaini makubwa walalahoi na amekuwa akiwakosha sana wapiga kura kwa uimbaji wake wa tambo na kujionyesha kuwa ni mtoto halisi wa sauzi. Fuatilia uhamasishaji wake kwenye kampeni zake zilizokamilika leo Jumatatu , April ,20.

0 comments: