Mwezi mtukufu ukiwa umewadia , wauzaji wa vyakula maalum vya futari na daku nao wanachangamkia soko. Maboga yakiwa tayari katika soko la Tandika jijini Dar es salaam.
DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
45 minutes ago

0 comments:
Post a Comment