Mmoja wa watu akiwa akasakata rumba eneo la ruaha Mbuyuni Kilolo, Iringa usiku wa kuamkia jana ...eti akivunja jungu , kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani ..hii imekaaje.
...Na kondom tena mkononi?...ndio kuvunja jungu huko au kufanya mas-hara!Photo na FrancIbra.
Mahakama yaagiza Lissu ajibiwe ndani ya siku 7
4 hours ago

0 comments:
Post a Comment