Tamasaha la watu wa Indonesia lilifanyika jijini Tokyo mwishoni mwa wiki hii...Vyakula vya Kiindo, mavazi na burudani ya muziki ilikuwepo. Palikuwa hapatoshi..
Jukwaa kuu muziki ulikuwa ukihanikiza watazamaji.
Kijua kiliwaka ...lakini ilikuwa ndio sehemu ya starehe...
Dira Ya Dunia
7 hours ago

0 comments:
Post a Comment