Kituo kikuu cha mabasi ya Express kiitwacho SAHARA..Maarufu katika jiji la mwanza ...Upo?
Aah inapendeza; Makutano ya Mtaa wa Kenyatta na station Road ...kweli...
Tangazo la dhahabu nyeupe mpaka skuli...watani zangu bwana!
Almaaruf Mtaa wa Rwegasore, MWZ.
Kama unaifahamu Mwanza kwa sanaaa utakuwa umefika hapa!
Uwanja wa Ndege wa kwetu...soma hapo juu ya bati kuna jibu...
Shughuli ni watu...Wadau wa habari Jijini Mwanza; Raphael Shiratu (L)Afisa mwandamizi Sahara communication Mwanza na John Dotto mwandishi wa gazeti la Mwananchi, wakiwa katika mjadala muhimu wa kitaifa.
Mapaparazi waandamizi mkoa wa Mwanza katika picha ya pamoja...Mkono huo, Kheri ya mwaka mpya makomred!
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Posted by
BM.
on
Monday, January 04, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment