nilikwenda eneo linaitwa Hiro-o hapa Tokyo hapo kuna vyakula vinavyofanana na nyumbani...ilikuwa ka-shopping fulani . Nilipata unga wa ugali na ndizi za matoke. Ilikuwa siku njema.
DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
53 minutes ago

0 comments:
Post a Comment