Menyu ya leo ; Baada ya kupitisha macho , supu yenye mayai ya kuchemsha ...Muonekano wake tu ndio ulionivutia...nimekwepa sushi..(Samaki wabichi na madonge ya wali)
Hebu kisia ladha yake!bila shaka utasema...
Supu ilikuwa nzuri ...Wajapani wataalamu katika idara hii...
Jinsi ya kuwashinda duma kukimbia
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment