Menyu ya leo ; Baada ya kupitisha macho , supu yenye mayai ya kuchemsha ...Muonekano wake tu ndio ulionivutia...nimekwepa sushi..(Samaki wabichi na madonge ya wali)
Hebu kisia ladha yake!bila shaka utasema...
Supu ilikuwa nzuri ...Wajapani wataalamu katika idara hii...
FCC yatoa elimu kwa wananchi wa Chalinze
1 hour ago

0 comments:
Post a Comment