Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Thursday, September 30, 2010

Wakati huu dunia inabadilika na kiwango cha ufahamu kinakua kwa kasi sana wale jamaa wanaojiingiza kwenye hiyo inayoitwa Comedy , Masanjas, Jottyies na wenzake waangalie hii wanaweza kuambua kitu. Na wasomi wenye shahada za uzamifu na uzamili nao wasijiweke nyuma , hii inalipa...acha tu....haya angalia !


Maoni ....!

1 comments:

malkiory said...

Msulwa hii ni kali kweli, nimecheka hadi kidogo nivunjike mbavu.