Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, August 22, 2011

Nilikuwa likizo fupi..nyumbani Tz. Haikuwa rahisi na isingewezekana kufanya kila kitu ikiwa ni pamoja na kumuona kila aliye na nasaba nami, naomba radhi kwa hilo. Safari hii nilikuwa salama zaidi kwani likizo nzima niliambatana na komandoo wangu. Kabla ya safari alifanya zoezi la nguvu ili kuwa fit. Ambana nasi taratibu kwa njia ya picha...

0 comments: