Viongozi wa nchi tajiri, G20 walikutana kwa siku mbili Cannes chini Ufaransa wakiwa na hofu kuu kuhusu athari za mzozo wa madeni barani ulaya kwa uchumi wa dunia.Picha ya Juu Kansela wa ujerumani Angela Merkrl na Raisi wa Ufaransa Nicolas Sakozy na picha ya pili chni Raisi Barack Obama wa Marekani akizungumza na Kansela Angela Merkel na Raisi wa Argentina..Fernendez Kirchner.
Uchaguzi Tanzania 2025: Tanzania kupiga kura Oktoba 29
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment