Bila shaka ni siku muhimu sana kwa Bi. Julia Mlwilo , ambaye leo J2, kwa mara ya kwanza ameanza kutangaza kupitia Idhaa ya kiswahili ya Redio japani-NHK WORLD. Mara tu baada ya kumaliza taarifa ya habari , taswira hiyo ikapatikana.
Picha ya Chini akiwa katika Chumba cha habari na watangazaji wenzake , Fatma Mohamed na Jonas Songora...Take 5, Julie , karibu katika fani...
Kwanini baadhi ya watu wana tabia ya kupenda kula kula?
22 minutes ago
1 comments:
Julia weeeeeeee! Mbona umekuwa Rasta? :) lol
Post a Comment