Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, January 27, 2012

Hazel Jones went on to TV program called " This Morning" to discuss her 1 in a million medical condition. Known as uterus didelphys, it can more easily be described by saying she was born with two vaginas!Health expert Dr Dawn Harper explained on the show that Hazel’s condition occurred because the uterus tube septum failed to break down when Miss Jones was a baby. this lead to two uterus’ being formed instead of one.

She also went on to explain that the condition of developing two uterus’ is not so rare, the rare part is that she has two vaginas to go with them.
She said,”The two tubes have made two separate uteruses and two vaginas and two cervixes. And although it’s relatively common to have a septum within the uterus, to actually have two separate uteruses is much rarer – one in a million.”

Hazel realized she was having problems when she hit puberty and started menstruating.
That wasn’t fun. I used to suffer from horrendous cramps and my periods could be very heavy. I now know that my periods were worse because I have two wombs,” Hazel explained. It wasn’t nice. I had friends and I tried explaining to them I was having problems and they had no idea what I was doing wrong. I always noticed there was this thing there.”She went on to talk about what it was like having two vaginas. She had to live with the reality that she could get pregnant twice, and at two different times. She had to lose her virginity twice.She was offered corrective surgery, but declined saying,“They have to treat you like they would a post-op transsexual because if you have something removed from an area like that there’s a risk of healing back together. You have to have it separated all the time and it can be very uncomfortable and cause scar

Posted by BM. on Thursday, January 26, 2012




viunga vya Shinjuku , jijini Tokyo leo mchana

Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Kuanzia Feb mosi mwaka huu, matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya Redio Japani yatasikika moja kwa moja kupitia TBC FM Dar es salaam baada ya mkataba rasmi kutiwa saini mwishoni mwa wiki iliyopita Jumamosi tarehe 21/1...jijini Dar es salaam. Ilikuwa hafla iliyohudhuriwa na Mkurugenzi mtendaji wa TBC Bw.Clement Mshana aliyetia saini kwa niaba ya TBC na Mwakilishi wa NHK World Bi Yuko Asano akiwa na ujumbe wake wa watu watano kutoka Japani.

Alikuwepo balozi wa Japani Nchini Tanzania Mh. Okada , Mkurugenzi wa habari maelezo Bw. Raphael Hokororo aliyesoma hotuba kwa niaba ya waziri wa Habari , utamaduni na Michezo mh. Emannuel Nchimbi,na wadau wengine wakiwemo wasikilizaji wetu waliotoka katika nchi za Kenya, Uganda na wa nyumbani Tanzania.Mwingine ni makamu wa Mwenyekiti wa Bodi ya TBC na wafanyakazi wa TBC walitupa support sana..tafadhali fuatilia habari hizi kwa njia ya picha.

Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Shughuli haikuwa ndogo...mbali na viongozi Meza kuu.. mkuu wa TBC FM Bw. Othmn Iddi aliongea katika hafla hiyo(picha ya chini hapo)


Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Mkurugenzi mtendaji wa TBC Bw. Clement Mshana akimungoza Balozi wa Japan nchini Tanzania Mh. Okada alipokuwa akiondoka kutoka kwenye hafla.
Makamanda; Dr. Kamugisha Kazaura , Reginald Ndesika , Atsuko iiyama wa NHK World , Bi. Fatma Mbilili na mumewe Dr. Ally Simba nao walikuwepo...


Mmoja wa wasikilizaji wa Redio Japani Generoza Ndunguru (Picha ya chini)mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma, akiongea katika hafla hiyo...
shukuran sana wadau

Posted by BM. on Tuesday, January 24, 2012

Nawaomba radhi sana wapenzi wa Mirindimo kuwa kwa siku kadhaa sikuwa hewani kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu...nimerejea sasa kwa kishindo...muda mfupi ujao nitamwaga picha zilizopigwa bongo (Tanzania) katika hafla maalum ya uzinduzi wa matangazo ya NHK World kupitia TBC FM ...!
Sasa unaweza kuziona picha nyingine nyingine nyingi kupitia mtandao rafiki wa ; www.aikamangi.blogspot.com hapo kulia kwako kuna mtandao unaojitambulisha kama UMOJA NI NGUVU bofya hapo na endelea kufuatilia picha...

Posted by BM. on Thursday, January 05, 2012

Posted by BM. on Wednesday, January 04, 2012


Hasira hasara...
Kaza moyo...

Posted by BM. on Sunday, January 01, 2012

Marafiki zangu wa MIRINDIMO nawatakia kheri ya mwaka mpya. Hapa Japani tayari tumeshauanza mwaka mpya wa 2012. Jiografia imelazimisha iwe hivyo. Maeneo mengine duniani walikwisha ingia mapema kabla yetu na wengine itabidi wasubiri kwa saa kadhaa. Lakini naamini sote tutafika tu, kwa nguvu za Mungu.
Tuna wajibu wa kumshukuru Mungu kwa kufika siku hii ya leo. Wanaadamu wenzetu kwa mamilioni duniani hawakubahatika kuuona mwaka mpya, wameishia katikati au dakika moja kabla ya kugonga saa 6 usiku tayar kuingia mwaka mpya wa 2012. Wamepoteza uhai wao kwasababu nyingi , Mapenzi ya Mungu, ajali, vita, magonjwa , majanga, na wengine wameuwawa kikatili. Wametangulia. Tuliobaki na kuuona mwaka 2012, tuna wajibu wa kuanza upya leo. Tuachane na fukuto la nafsi la mwaka uliopita na tuwe na matumaini mapya . Kheri ya mwaka mpya, nawapenda nyote!
-Msulwa.

Posted by BM. on Saturday, December 31, 2011

Mwandishi mkongwe wa BBC Johnn Ngahyoma aliyefariki dunia jana Ijumaa asubuhi baada ya vita virefu na kansa ya ini anatarajiwa kuzikwa leo jumamosi katika makaburi ya Kinondoni siku ya Jumamosi .

Taarifa kutoka kwa kaka yake marehemu Bw. Ngalimecha Ngahyoma zimethibitisha hivyo.
Mpaka alipofariki dunia John alikuwa akifanya kazi na shirika la Utangazaji la Uingereza BBC, mjini Dar es salaam.John alifanya kazi pia huko Daily News, baadaye alijiunga na ITV/Radio One halafu pia alifanya kazi na shirika la NSSF na baadaye alijiunga na BBC.Mwenyezi Mungu ailaze roho yake pahala pema peponi. Amen.

Posted by BM. on Saturday, December 31, 2011

Zamani ikijulikana kama kisukari kisichotokana na upungufu wa INSULINI (non-insulin-dependent diabetes mellitus (NIDDM) au kisukari kitokanacho na umri na mfumo wa maisha, hasa ulaji na unywaji na ukosefu wa mazoezi (adult-onset diabetes)
Aina hii ya kisukari ni rahisi kuondokana navyo, japo inahitaji elimu na uvumilivu kuhusu aina gani ya chakula na kinywaji mtu anapaswa kula na kunywa bila kusahau umuhimu wa mazoezi angalau dakika zipatazo 30 kwa siku.
Siku za karibuni kumekuwa na vifo vingi vinavyochangiwa na maisha ya kiselule (Sedentary lifestyle ) yaani kula na kunywa chochote kile bila ya mazoezi, MKAZO ( STRESS), unyogovu (Depression). Ushauri wa kitabibu unatuambia kuwa kula kiwango kidogo cha chakula sahihi kila baada ya masaa manne ni tiba ya aina hii ya kisukari. Watu wengi hasa waliopo kwenye tabaka la juu yaani wenye fedha wemekuwa wakihangaika kutafuta wachawi wa afya zao bila kujua kuwa ulaji unaopitiliza bila ya kujua madhara yake ndiyo MCHAWI namba MOJA

Utanachotakiwa kufanya, kama utapenda afya yako iimarike, achana vitu vyakula aina ya wanga, mfano wali mweupe n.k , punguza matumizi ya chumvi, ulaji mikate aina nyeupe, unywaji pombe na ulaji wa matunda yenye sukari nyingi. Japo inaonekana ni adhabu kidogo lakini kama utazingatia basi ujue kuwa utaangamiza kabisa aina hii ya kisukari.Matumizi ya vyakula vilivyotajwa hapo pamoja na kula kiwango kibwa cha chakula na muda mrefu kupita kiasi baada ya mlo hadi mlo, hufanya sukari kupanda na kushuka ( BLOOD SUGAR FLUCTUATIONS), na zaidi kuongezeka kwa uzito, kitambi na mwishowe kuishia kwenye msukumo mkubwa wa damu ( HIGH BLOOD PRESSURE) na hata mashambulizi ya moyo ( HEART ATTACK).
N.B: Vyakula vinavyoshauriwa ni kama vile wali wa kahawia ( BROWN RICE), Mkate kahawia ( Brown bread) , njegere, karoti, samaki na nyama aina zote ni safi. Bila kusau kunywa maji angalau lita mbili kwa siku.Kwa hisani kubwa ya blog ya sauti ya mnyonge...thanks bro Melkiory..

Posted by BM. on Friday, December 30, 2011

Nilisikia nikasita kuamini. Baada ya muda habari zikasambaa mitandaoni, nikaanza kuamini. Sasa nimeamini kuwa da yangu Halima Mchuka amefariki dunia. Halima Mchuka ni dada yangu halisi kiukoo, na sote tulilijua hilo, hivyo tulielewana kama ndugu wawili . Kwa upande mwingine alikuwa mfanyakazi mwenzangu na mpendwa wote. Watu wa rika lake na marika mengine walimkubali na kumpenda. Mungu amemchukua na kazi ya Mungu haina makosa. Mungu aiweke roho ya dada halima, peponi ...amin.
Alipolazwa mara ya kwanza mara baada ya kupatwa na matatizo la kiharusi , wengi walikwenda kumjulia hali hospitalini..ikiwa ni pamoja na Raisi JK na mkewe(Pichani).

Picha ya Chini ; Halima mchuka enzi ya uhai wake..akiwa na watangazaji wenzake Kuanzia kushoto Irene Bongi, nyuma kidogo Aisha Dachi na kulia mtangazaji mkongwe Edda Sanga.

Posted by BM. on Thursday, December 29, 2011

Posted by BM. on Sunday, December 25, 2011


Posted by BM. on Sunday, December 25, 2011